Afisa Afya

Informações:

Synopsis

AfisaAfya ni podcast pekee ya lugha ya Kiswahili itakayokuwa inawaletea mada, mijadala na mahojiano kuhusu afya ya mwanadamu na jinsi ambavyo afya zetu zinaweza kuathiriwa na mazingira tunamoishi, kila siku ya jumapili.

Episodes

  • Ukaguzi wa Nyama

    25/04/2018 Duration: 10min

    Ndugu S. Karata akizungumzia Ukaguzi wa Nyama, Majukumu ya AfisaAfya kama mkaguzi wa nyama, sheria zinazosimamia Ukaguzi wa Nyama, malengo ya ukaguzi nakadhalika.

  • Homa ya Dengi

    11/04/2018 Duration: 08min

    Ndugu Swahibu Karata akitoa elimu ya afya kuhusu historia, dalili paka njia za kujikinga na ugonjwa wa homa ya dengi.

  • Ugonjwa wa Listeria

    19/03/2018 Duration: 04min

    Historia, visababishi, jinsi unavyoenea, makundi ya watu walio hatarini zaidi, madhara lakini pia ni kwa namna gani tunaweza kujilinda na maambukizi ya ugonjwa wa Listeria - Swahibu A. Karata & Yusuph Uzuwila

  • Kinga ni bora kuliko tiba.

    04/03/2018 Duration: 02min

    AfisaAfya Karata akiendelea kujadili chanjo na jinsi ambavyo Chanjo huweza kumkinga binadamu dhidi ya maradhi

  • Kinga ni bora kuliko tiba.

    04/03/2018 Duration: 02min

    AfisaAfya Karata akijadili jinsi ambavyo chanjo husaidia kumkinga binadamu na maradhi.

  • Kinga ni bora kuliko tiba.

    04/03/2018 Duration: 03min

    Where prevention Begins

  • AfisaAfya

    25/02/2018 Duration: 04min

    Ndugu Swahibu A. Karata akitoa historia yake fupi lakini pia amegusia kidogo kuhusu AfisaAfya podcast

  • Afya kwanza

    17/02/2018 Duration: 20s

    Afya kwanza. Bw, Karata akiitambulisha show kwa wasikilizaji wake