Habari Za Un

Jifunze Kiswahili: Tofauti ya maneno “Adhuhuri na Alasiri.”

Informações:

Synopsis

Katika kujifunza lugha ya Kiswahili, mchambuzi wetu Dkt. Josephat Gitonga, kutoka Kenya ambaye ni mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Nairobi kwenye kitivo cha tafsiri na ukalimani anatufafanulia tofauti ya “Adhuhuri na Alasiri.”