Mazingira Leo, Dunia Yako Kesho
Sera za Mipango miji barani Afrika zinazingatia ustahimilivu wa majanga mijini?
- Author: Vários
- Narrator: Vários
- Publisher: Podcast
- Duration: 0:10:02
- More information
Informações:
Synopsis
Mkutano wa pili wa Umoja wa Afrika unaofahamika kama 'Jukwaa la Mijini Afrika (AUF) ulianzishwa kwa nia ya kuwezesha mazungumzo na uratibu wa ukuaji endelevu wa miji na makazi ya watu barani Afrika. Hata hivyo miji mingi barani Afrika bado inakumbwa na majanga ya kimazingira kama vile mafuriko na uchafuzi wa hewa. Tunaangazia matokeo ya mkutano huo na ikiwa mataifa ya Afrika yana mipangilio ilio bora katika kuwezesha miji yetu kustahimili majanga ya kimazingira.