Sbs Swahili - Sbs Swahili

Taarifa ya Habari 15 Aprili 2024

Informações:

Synopsis

Polisi wamesema mwanaume aliye uwa watu sita kwa kuwadunga kisu ndani ya soko la Westfield Bondi Junction, ali waepuka wanaume kimakusudi nakuwalenga wanawake na watoto.