Changu Chako, Chako Changu

Historia ya siku ya kuwakumbuka mashujaa nchini DRC na Mwanamuziki TayC

Informações:

Synopsis

Katika Makala haya Ali Bilali anazungumzia kuhusu siku ya kuwambuka watu waliotoa mchango wao katika harakati za ukombozi ambapo kila januari 4 ni siku ya kuwakumbuka wapambanaji hao waliochangia katika ukombozi wa nchi Usikosi pia kumfollow mwanahabari wako Ali Bilali kwa Instagram @billy_bilali