Changu Chako, Chako Changu
Historia ya siku ya kuwakumbuka mashujaa nchini DRC na Mwanamuziki TayC
- Author: Vários
- Narrator: Vários
- Publisher: Podcast
- Duration: 0:19:59
- More information
Informações:
Synopsis
Katika Makala haya Ali Bilali anazungumzia kuhusu siku ya kuwambuka watu waliotoa mchango wao katika harakati za ukombozi ambapo kila januari 4 ni siku ya kuwakumbuka wapambanaji hao waliochangia katika ukombozi wa nchi Usikosi pia kumfollow mwanahabari wako Ali Bilali kwa Instagram @billy_bilali